HAYA HAPA MATOKEO YA UCHAGUZI WA MEYA ILALA NA KINONDONI,CHADEMA WANG'AA KILA KONA
Saturday, January 16, 2016
Diwani wa Ubungo Boniface Jacob kutoka CHADEMA ameibuka kidedea na ushindi wa kura 38 baada ya kushinda umeya na kumshinda mpinzania wake Benjamini Sitta wa Chama cha Mapinduzi CCM aliyepata kura 20 Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Wakati huo huo Bw. Charles Kuyeko (CHADEMA) amechaguliwa kuwa Meya wa manispaa ya Ilala na Omary Kumbilamorto (CUF) kuwa naibu Meya
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin