![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi_WGNmQF32ScbCjQjLbyuLT9Xb6akQslpF-63ePSoaIj7sTUMlllh0H6_VL-SiX9H3d37MR8kJrB_lFSOO7rwhTXJfqcxWTGKRYmp3QSHY-SNH2Btx7bMYAnXOEnXsoT9ctihmp11rzFue/s640/new4.gif)
Baraza la mitiani NECTA limetangaza Matokeo ya kidato cha 2 kwa wanafunzi waliofanya mtihani mwaka jana ambapo wanafunzi 324,068 sawa na 89% kati ya wanafunzi 363,666 waliofanya mtihani wamefaulu kuendelea na kidato cha tatu.
BOFYA HAPA KUTAZAMA MATOKEO