Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

LOWASSA NOMA SANA!! SHUHUDIA HAPA PICHA..AWEKA HISTORIA NYINGINE TANGA,WATU ZAIDI YA 100 WAZIMIA KWA KUKOSA,MAFURIKO YA HATARI






Mgombea urais wa Chadema anayeungwa mkono na Vyama vya Ukawa, Edward Lowassa, akipunga mkono wakati akiwasili kwenye Viwanja vya Indian Ocean katika mkutano wa kampeni mjini Tanga jana Jumatano 21/10/2015




Baada ya mkutano wa kwanza kuhairishwa kutokana na uwanja wa Tangamano kuzudiwa na wingi wa watu nakupelekea watu zaidi ya 100 kuzimia kwa kukosa hewa. Jumatano 21/10/2015,uwanja wa Indian Ocean ndiyo ulioweza kuwakusanya pamoja wananchi wa Tanga,ingawa wawalikuwa maelfu kwa maelfu


Mhe. Edward Ngoyai Lowassa akiongea na wananchi wa Tanga katika uwanja wa Indian Ocean leo Jumatano 21/10/2015











































































Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com