VIDEO: NINAYO TAYARI COLLABO YA DIAMOND, MAFIKIZOLO, YEMI ALADE, SAUTI SOL,TOOFAN NA MASTAA WENGINE AFRICA…‘TELL EVERYBODY’ ITAZAME NA IPAKUE HAPA...!

Good news mtu wangu, ile collabo ya kundi la Mafikizolo kutoka South Africa na mtu wetu Diamond Platnumz imetoka!
‘Tell Everybody’ ndio njia la wimbo, na ni wimbo ambao ni sehemu ya project ya Umoja wa Mataifa iitwayo UN Sustainable Development Goals (SDGs) yenye dhamira ya kupambana kutokomeza umasikini, kurekebisha tabia nchi na kuhamasisha usawa kufikia mwaka2030

Diamond Platnumz.
Wimbo huu umeshirikisha pia wasanii kutoka nchi nyingine za Kiafrika, wapo wakina Yemi Alade kutoka Nigeria, Sauti Sol kutoka KenyaToofan kutoka TogoBecca na Sarkodiekutoka Ghana na Diamond Platnumz ndiye staa aliyewakilisha +255 Tanzania pamoja naMafikizolo kutoka South Africa!
Kuna mchanganyiko pia wa lugha mbalimbali ikiwemo Kiingereza, Kifaransa, Kiswahilina Kizulu... kizuri zaidi ni kwamba kila verse utakayoisikia kwenye wimbo huu basi ujue imeandikwa na msanii mwenyewe!
Hapa ninazo baadhi ya picha za wasanii walioshiriki kufanikisha hii project mdau

Becca Kutoka Ghana

Diamond Platnumz, Tanzania



Mafikizolo na wasanii wengine.

Diamond Platnumz na wasanii wengine.

Mafikizolo, South Africa.

Nhlanhla Nciza wa Mafikizolo.

Theo wa Mafikizolo.

Yemi Alade, Nigeria.

Kama bado hujabahatika kukutana na video ya ‘Tell Everybody’ karibu uitazame hapa chini mdau…

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post