ULIIONA VIDEO YA DKT MAGUFULI AKIPIGA PUSH-UP KUONESHA YUKO VIZURI HUKO KAGERA....IKO HAPA ANGALIA
Tuesday, September 22, 2015
Katika hali ambayo si ya kutarajia Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi aliamua kupiga "PUSH-UP" Kabla ya kumwaga sera kwa wananchi wa Misenyi-Kagera. Pichani ni Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli akipiga 'push-up' kuonesha kuwa anauwezo wa kufanya kazi ukilinganisha na wagombea wengine. Tazama video ya Dr. Maguli hapo chini Akipiga Push-Up
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin