Breaking News!! MGOMBEA UBUNGE WA CCM AFARIKI DUNIA....
Thursday, September 24, 2015
Taarifa
zilizotufikia muda huu kwenye chumba chetu cha habari ni kwamba Waziri
wa Nchi,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh.Celina Kombani amefariki dunia nchini India leo jioni alikokuwa akipatiwa matibabu.
Taarifa
hizo zimesema Waziri Kombani ambaye pia alikuwa mgombea ubunge jimbo la
Ulanga Mashariki kupitia Chama cha Mapinduzi, mwili wake utawasili
nchini Jumamosi ya Septemba 26 mwaka huu.
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin