News Alert! BUNGE LAAHIRISHWA KUFUATIA KIFO CHA MBUNGE WA GEITA DONALD MAX

 

 Kikao cha bunge kimeahirishwa hadi kesho saa 3 Asubuhi kutokana na msiba wa mbunge wa Geita Donald Max aliyefariki jana. Spika wa Bunge Anna Makinda amesema marehemu Donald Max atazikwa Dar es salaam Jumamosi Juni 27.

R.I.P Donald Max

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post