News Alert! BUNGE LAAHIRISHWA KUFUATIA KIFO CHA MBUNGE WA GEITA DONALD MAX
Wednesday, June 24, 2015
Kikao
cha bunge kimeahirishwa hadi kesho saa 3 Asubuhi kutokana na msiba wa
mbunge wa Geita Donald Max aliyefariki jana. Spika wa Bunge Anna Makinda
amesema marehemu Donald Max atazikwa Dar es salaam Jumamosi Juni 27.
R.I.P Donald Max
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin