Makubwa Haya!! MAMA ALIYEJICHORA TATOO MWILINI AKATAZWA KUNYONYESHA MTOTO WAKE!!

Breastfeeding

Michoro ya mwilini aka tattoo ni urembo mwingine kwa watu wengi hasa vijana… Mama mmoja Australia ana mtoto mchanga lakini hatoweza kumnyonyesha mtoto wake kutokana na agizo la Mahakama !!

Vipimo vya Hospitali havijaonesha kama mama huyo ana tatizo lolote, ila ishu ni tattoo ambayo alijichora, Mahakama ilipokea malalamiko kutoka wa mume wa mwanamke huyo kuhusu tattoo aliyojichora kwenye kidole na mguuni.. wakamzuia asimnyonyeshe tena mtoto huyo kutokana na kanuni zilizowekwa na Australian Breastfeeding Association.

Bado kuna mvutano kwenye ishu ya uamuzi huo, CEO wa Australian Breastfeeding Association, Rebecca Naylor yeye anapingana na uamuzi huo wa Mahakama.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post