BASI LAGONGA MTU MWENYE UGONJWA WA AKILI,LAPINDUKA,LAUA HUKO PWANI
Tuesday, April 14, 2015
Taarifa
zilizotufikia hivi punde kutoka chanzo cha kuaminika,zinaeleza kuwa
Basi la kampuni ya GAMET Trans linalofanya safari zake
Dar-Lindi-Masasi-Nachingwea limepata ajali maeneo ya Kibiti wilaya ya
Rufiji-Utete mkoa wa Pwani . Ajali hiyo imetokea baada ya dereva wa basi kutaka kumkwepa mtu anayedaiwa kuwa
na tatizo la ulemavu wa akili,lakini kwa bahati mbaya likamgonga na
kufariki papo hapo,taarifa zaidi zinaeleza kuwa baada ya ajali hiyo basi
hilo liliacha njia na kupinduka na kupelekea kifo cha mtu mmoja
aliyegongwa na wengine waliokuwemo ndani ya basi hilo ambao idadi yao haikujulikana mara moja wamejeruhiwa.
Via>>Kibonajoro.com
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin