![]() |
Maelfu ya wakazi wa Shinyanga wakiwa katika eneo la mkutano wakimsubiri mwenyekiti wa Chadema taifa Freeman Mbowe |
![]() | |||||
Mtoto Robert Donald akiwa amevaa nguo za Chadema eneo la mkutano
|
![]() |
Wakazi wa Shinyanga wakiwa katika viwanja vya mahakama ya Mwanzo nguzo nane mjini Shinyanga leo jioni |
![]() |
Ulinzi ulikuwepo wa kutosha,askari wa jeshi la polisi mkoa wa Shinyanga walikuwepo |
![]() |
Wafuasi wa CHADEMA wakisali kabla ya mkutano kuanza |
![]() |
Mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Shinyanga Mjini Hassan Baruti akifungua mkutano |
![]() |
Mbunge wa viti maalum kutoka mkoani Mara Esther Matiko akizungumza na wakazi wa Shinyanga |
![]() |
Mbunge wa Viti maalum mkoa wa Shinyanga Rachel Mashishanga akizungumza kwenye mkutano huo |
![]() |
Mwenyekiti wa baraza la vijana Chadema Taifa Patrobas Katambi akiwasili katika viwanja vya mahakama ya mwanzo nguzo nane kwa ajili ya mkutano |
![]() |
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe akiwasili kwenye eneo la mkutano leo jioni |
![]() |
Mwenyekiti wa CHADEMA kanda Silvester Kasukumbayi akizungumza na wakazi wa Shinyanga |
![]() |
Mwenyekiti wa BAVICHA Patrobas Katambi akiwasalimia wakazi wa Shinyanga |
![]() | ||
Viongozi wa Chadema wakifuatilia kilichokuwa kinajiri uwanjani![]() |
![]() |
Mwenyekiti wa CHADEMA kata ya Ngokolo Diana Ezekiel akipanda kwenye baiskeli zilizogawiwa kwa viongozi mbalimbali wa kata wakati wa uzinduzi wa Oparesheni Shahada mkononi leo |
![]() |
Mheshimiwa Mbowe akimpatia Tisheti kiongozi wa kata wa Chadema leo |
![]() |
Mheshimiwa
Mbowe akiendesha baiskeli baada ya kuzindua kampeni ya Shahada mkononi
na kukabidhi baiskeli kwa viongozi wa kata watakazozitumia katika
kuhamasisha wananchi kujiandikisha katika daftari la kudumu la mpiga
kura![]() |
![]() |
Wakazi wa Shinyanga wakifuatilia mkutano huo |
![]() |
Mkutano unaendelea |
![]() |
Mkutano unaendelea |
![]() |
Mheshimiwa Mbowe akiwahutubia wakazi wa Shinyanga leo |
![]() | |
Mbowe akizungumza na wakazi wa Shinyanga |
![]() | ||
Wakazi wa Shinyanga wakimsikiliza Mbowe Mwandishi wa habari akiandika dondoo muhimu Mkutano unaendelea Maofisa wa polisi wakiwa eneo la mkutano karibu na meza kuu |
Mheshimiwa Mbowe akiondoka eneo la mkutano baada ya mkutano kuisha-Picha zote na Kadama Malunde-Malunde1 blog Shinyanga
Social Plugin