HII NDIYO KAULI YA "ASKOFU PENGO" BAADA YA KUTUKANWA NA ASKOFU GWAJIMA AMBAYE SASA YUKO HOI HOSPITALI


'Kuna mtu mmoja,ambaye hata jina lake silikumbuki,ameinuka na kunena maneno juu yangu,ambayo yamewaudhi baadhi hata yenu.Langu mimi kwake ni msamaha tu,nasema nimemsamehe kutoka ndani ya chembe ya moyo wangu kabisa.

Endapo liko jambo linafanywa na wakuu wa serikali,nadhani hao wanatekeleza tu wajibu wao.
Mimi narudia tena, nimemsamehe tena kabisa na ninawaomba tumuombee ili Mungu adumishe amani ya Taifa hili.' Pengo amesema

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527