Hii Inatoka Shinyanga!! BINTI AFANYA MAPENZI NA WANAUME KIBAO,AREKODI VIDEO NA KUZIMBAZA FACEBOOK NA WHATSAPP

Hands on IphoneKama ni mpenzi wa Hekaheka ya Clouds fm nakusogezea hii iliyosikika leo mtu wangu, inatoka Shinyanga ambapo kuna story ya msichana ambaye ana wana tabia ya kujipiga picha za utupu na kuzisambaza Whatsapp na Facebook.
Marafiki wa karibu wanasema kwamba amekuwa akijipiga picha hizo na kuwatumia marafiki zake pamoja na wanaume, huku akijisifia uzuri wake, ambapo wao wanaona kitendo hicho ni udhalilishaji hata kwao pia.

Inasemekana huwa anazituma kutafuta mabwana.

Pia inaelezwa kuwa picha zake zimesambazwa na mchezaji maarufu wa mpira Shinyanga ambaye ni mpenzi wake na picha nyingi zimeanza kusambaa zaidi maeneo ya Stand mjini Shinyanga.
Kijana mmoja ambaye alitumiwa picha na msichana huyo amesema alishangaa kurushiwa picha hizo japo hakujua lengo la msichana huyo.
Msichana ambaye ametajwa kurusha picha hizo amesema kwamba alipiga picha hizo na rafiki yake lakini baadae akashangaa kuona picha hizo zimeenea.


Kusikiliza story yote bonyeza play hapa chini…

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527