BASI LAUA ZAIDI YA ABIRIA 40 BAADA YA KUANGUKIWA NA KONTENA HUKO IRINGA
Wednesday, March 11, 2015
Abiria
zaidi ya 40 wamefariki dunia baada ya basi la Majinja Express
ambalo lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Dar es Salaam kufunikwa na
kontena maeneo ya Changalawe, Mafinga mkoani Iringa majira ya saa tatu asubuhi.
Kwa
mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo ni kwamba dereva wa basi alikuwa
akijaribu kulipita lori ndipo walipodondokewa na kontena hilo.
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin