
Mbunge
wa Jimbo la Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe jana March 14 ametoa gari
mpya ya kubebea wagonjwa (Ambulance)kama moja ya ahadi zake alipokuwa
kwenye kampeni ambapo aliahidi kabla ya kumaliza kipindi cha uongozi
wake atatoa gari hiyo.



Hapa Zitto akiwa kwenye shamba lake la kahawa




Social Plugin