ANGALIA PICHA-WACHUMBA WAFUNGA NDOA NDANI YA JENEZA SIKU YA VALENTINE
Monday, February 16, 2015
Miongoni mwa
matukio ya kushangaza kama sio kufurahisha yaliyofanywa siku ya
Jumamosi Feb.14 katika siku ya wapendanao Valentine’s day, ni lile la
wachumba kumi walioamua kufunga ndoa zao wakiwa ndani ya jeneza huko
Bangkok, Thailand.
Inasemekana kuwa wapenzi hao walifanya hivyo kwa kuamini kuwa ni njia ya kuondoa mikosi katika ndoa zao.
Chanzo: Daily Mail
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin