ANGALIA PICHA- WATOTO WALIOUAWA KISHA MAMA YAO KULA MIOYO YAO KAMA MSHIKAKI WAZIKWA

SAMSUNG
Moja ya taarifa kutoka Nairobi Kenya ambayo ilisikitisha sana ni tukio la watoto watatu kuuawa na mwanamke mmoja ambaye baada ya kuwaua halafu akawapasua na kula mioyo ya watoto hao.

Mwanamke huyo Catherine Muthoni alimuua mtoto wake mmoja mwenye umri wa miaka kumi na baadaye kuua watoto hao wawili wa jirani.SAMSUNG
Tukio la leo katika eneo la makaburi ya Lang’ata limewatoa wengi machozi wakikumbuka jinsi watoto hao walivyofariki kwa mateso ambapo familia ya watoto hao wameamua kufanya mazishi ya watoto wote wawili kwenye kaburi moja.SAMSUNG
Mwanamke huyo anashikiliwa na Polisi kesi yake ikiendelea ambapo Mahakama iliagiza afanyiwe uchunguzi kama ana matatizo ya akili huku upelelezi wa kesi yake ukiendelea.
 Hii Hapa taarifa hiyo kwenye video kutoka K24 TV Kenya

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527