Gari inayodaiwa kuwa ilikuwa katika mwendo kasi ikiwa na watu watano na inaelezwa kuwa pia alikuwemo mtoto mchanga ambao walinusurika kufa ikiwa imepinduka |
Ilielezwa kuwa ndani ya gari lililoharibika kulikutwa chupa za bia na viroba vya konyagi
eneo la tukio
Gari la polisi likiwa eneo la tukio,ndani ni watu waliokuwa katika gari lililosababisha ajali |
Mwonekano wa magari yote mawili |
Wakazi wa Shinyanga wakiwa katika eneo la tukio,chini ni pombe ikiwa imemwagika pembeni ya gari lililokuwa katika mwendo kasi |
Gari ya pili ikiwa imeharibika,ingawa dereva wake hakuumia katika ajali hiyo |