Duh!! SISTER WA KANISA KATOLIKI AJIFUNGUA MTOTO,UTATA WAIBUKA!!
Thursday, January 29, 2015
Utata umeibuka baada ya sister wa Kanisa Katoliki huko Italy aliyekuwa akilalamikia maumivu ya tumbo na kukimbizwa Hospitali na
kujifungua mtoto wa kiume licha ya kuishi katika Jumuiya hiyo ya
wanawake pekee
Sister huyo mwenye umri wa miaka 31 yupo kwenye kikundi cha masista cha Santa Chiara Italy,
asili yake ni Amerika ya Kusini, alilalamikia maumivu makali ya tumbo
baadaye alianguka, madaktari walifika katika eneo hilo na baada ya
kumfikisha Labour alijifungua.
Watu wengi wameshindwa kuelewa kwa jinsi gani ameweza kupata ujauzito licha ya kula kiapo cha usafi wa moyo na utii.
Tukio
linalofanana na hili lilitokea mwaka jana baada ya sister mmoja wa
Salvador ambaye umri wake ni miaka 33 ambaye alijifungua mtoto wa kiume
na kumpa jina la Papa Francis.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin