MKANDARASI KWILASA WA SHINYANGA MJINI APIGWA MARUFUKU HUKO SIMIYU
Monday, December 22, 2014
Mbunge wa Maswa Mashariki Silvesta Kasulumbai akichangia mada katika kikao hicho.
Wajumbe wa Kikao cha Bodi ya Barabara Mkoani Simiyu, wamepiga marufuku Mkandarasi KWILASA INVESTEMENT COMPANY LTD wa Mjini Shinyanga kufanya kazi ya ujenzi wa barabra yeyote Mkoani hapa kwa kile kilichoelezwa kufanya kazi chini ya kiwango kwa baadhi ya miradi aliyopewa kutengeneza Mkoani Simiyu.
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin