WATAALAMU WA MAMBO WANASEMA HIZI NDIZO NJIA 10 ZA KUMTAMBUA MPENZI ALIYEKUSALITI MUDA MFUPI ULIOPITA (ALIYECHEPUKA)


KUNA BAADHI YA WATU WANAYATENDEA HAKI MAPENZI; WAPO MAKINI KWA KILA KITU KATIKA UHUSIANO WAO NA HIVYO KUWA KAMA WANAISHI KWENYE PARADISO YA PEKEE.

 PIA, WAPO WENGINE AMBAO WANAYAONA MAPENZI MACHUNGU, WANAYACHUKIA NA KWA HAKIKA WANALAANI KUKUTANA NA WENZI WALIONAO.

Kwa nini? Kwa sababu kila siku ni ugomvi, hawana amani. Hawapati muda wa kukaa na kupanga mambo yao, kila wakikutana ni ugomvi.

 Kunyang’anyana simu na kupekua meseji ndiyo sehemu ya uhusiano wao.

Utakapoona wapenzi hawaishi ugomvi, ujue kwamba wanaishi kwa mashaka. Kila mmoja haamini kama mwenzake siyo kicheche. 

Pamoja na ugomvi wao, wengi wanashindwa kuwatambua wenzi ambao wamewasaliti muda mfupi uliopita.

Katika mada yetu ya leo, tutaangalia mambo 10 ya msingi ambayo yanaweza kukusaidia kumtambua mpenzi aliyekusaliti muda mfupi uliopita. 

Hapa namaanisha utaweza kumtambua mpenzi aliyekusaliti ndani ya saa 24.Tafadhali weka mawazo yako hapa ili uweze kumgundua mwenzi ambaye ni mwizi wa haki yako. Sasa hebu twende tukaone.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post