UNAAMBIWA HIZI NDIYO HOTELI BORA ZAIDI DUNIANI

Mpaka kukamilisha kuijenga hoteli hii, bajeti ya dola bilioni 8 zilitumika.
2. Sheraton Huzhou Hot Spring Resort
3. Resorts World, Sentosa, Singapore
Dola bilioni 6.5 zilitumika kujenga hoteli hii na ndani kuna hoteli sita zinazojitegemea.
4. Mardan Palace, Lara, Antalya, Uturuki
Hoteli hii ilizinduliwa mwaka 2009, na uzinduzi wake ulikuwa mkubwa zaidi katika historia ya uzinduzi wa hoteli duniani.
5. City Of Dreams, Macau, China
Kama panavyoitwa, ‘Jiji la Ndoto’ hapa utakutana na hoteli 3 kubwa, Hard Rock Hotel, Grand Hyatt Macau, na Crown Towers.
6. The Venetian, Macau, China
Panahusu mazungumzo ya casino, basi The Venetian, Macau ni baba lao. Ikijengwa kwa dola bilioni 2.4, ilipomalizka ilikuwa na casino kubwa zaidi duniani.
7. The Cosmopolitan, Las Vegas
Hii ni sehemu ambayo maceleb hujivinjari zaidi. Ilijengwa kwa gharama ya dola bilioni 4.9.
8. Emirates Palace, Abu Dhabi
Ujenzi wa kiota hiki ulitumia gharama ya dola bilioni 5 na kuifanya kuwa miongoni mwa majengo aghali zaidi.
9. Burj Al Arab, Dubai
Ukiitaja ‘Dubai’, kulitaja jina Burj Al Arab huwezi kuliepuka. Ujenzi wake ulitumia miaka sita kwa gharama ya dola milioni 650. Na ilipofunguliwa mwaka 2000, jengo hili likawa refu kuliko majengo yote duniani.
10. Atlantis, The Palm, Dubai

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post