KIJANA AAMUA KUJINYONGA HADI KUFA BAADA YA KUUGUA KIFUA KIKUU MIAKA 18


Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la  Butungo Mbugani mkazi wa kitongoji  cha Ntegele kijiji cha Igulwa kata hiyo wilayani Bukombe  mkoani Geita amechukua jukumu la kujinyonga kwa kutumia kamba ya katani baada kuugua kwa muda wa miaka 18 ugonjwa wa kifua kikuu (TB).

ENDELEA KUSOMA HABARI HII HAPA

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post