Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Butungo Mbugani mkazi wa kitongoji cha Ntegele kijiji cha Igulwa kata hiyo wilayani Bukombe mkoani Geita amechukua jukumu la kujinyonga kwa kutumia kamba ya katani baada kuugua kwa muda wa miaka 18 ugonjwa wa kifua kikuu (TB).
ENDELEA KUSOMA HABARI HII HAPA