TAZAMA WANAFUNZI HAWA WA BUGOYI ASUBUHI HII MJINI SHINYANGA

Katika pita pita zake mjini Shinyanga asubuhi hii kamera za malunde1 blog zimewanasa wanafunzi wa shule ya msingi Bugoyi A iliyopo katika kata ya Ndembezi wakikimbia mchakamchaka.
Unaambiwa shule hiyo ya Bugoyi A waliacha kukimbia mchakachaka mwaka 1994 lakini wameanza tena mwaka jana,na sasa kila asubuhi kama kawaida wanakimbia mchaka mchaka

Watoto wa shule ya msingi Bugoyi A wakikatiza katika mtaa wa Mabambasi,kata ya Ndembezi asubuhi ya leo,wakiimba nyimbo mbalimbali-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post