TAZAMA PICHA_ HII NDIYO HALI HALISI MJINI SHINYANGA
Monday, July 28, 2014
Hii ndiyo hali halisi katika barabara nyingi mjini Shinyanga.Hapa ni katika barabara karibu na kanisa kubwa la KKKT mjini Shinyanga ambako kamera zetu zimenasa magari yakiwa yameegeshwa pande zote mbili za barabara hali ambayo imeelezwa kuchangia kusababisha ajali za barabarani,na baadhi ya wananchi walioongea na mtandao huu walihoji "Kitengo cha usalama barabarani kipo wapi?,ina maana hakioni haya kwenye barabara zetu,kila mahali ni parking?,au mpaka waone ajali zimetokea ndiyo waoneshe makucha yao?"
Double Parking kila barabara mjini Shinyanga
Nyuma ya soko kuu mjini Shinyanga
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin