RAIS WA MAPACHA APATIKANA HUKO KAHAMA,TAZAMA VIDEO HAPA,KUTANA NA WASUKUMA WAKICHEZA NGOMA YA "UKANGO"

Chama cha watu waliozaa mapacha wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga wamemsimika Rais  bw Mdulambuga katika sherehe za kimila zilizofanyika kwenye kata ya Kashishi wilayani Kahama na mgeni rasmi alikuwa mbunge wa jimbo la Msalala wilayani humo bw Ezekiel Maige Sherehe hizo za kukata na shoka  zilipambwa na burudani ya ngoma ya Bakango

<<TAZAMA HAPA NGOMA HII YA AINA YAKE HUKU USUKUMANI>>

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post