Kumetokea
ajali asubuhi hii baada ya basi la Supernajimunisa lililokuwa linasafiri kutoka Mwanza
kuelekea Dar es salaam kupinduka baada ya tairi zake za mbele kupasuka katika
eneo la Usanda kata ya Samuye wilaya ya Shinyanga mkoani Shinyanga.
Our website uses cookies to improve your experience. Learn more
Ok