Breaking News!! BASI LAPINDUKA ASUBUHI HII ENEO LA USANDA-SHINYANGA,LILIKUWA LINATOKA MWANZA KWENDA DAR


Kumetokea ajali asubuhi hii baada ya basi la Supernajimunisa lililokuwa linasafiri kutoka Mwanza kuelekea Dar es salaam kupinduka baada ya tairi zake za mbele kupasuka katika eneo la Usanda kata ya Samuye wilaya ya Shinyanga mkoani Shinyanga.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post