Haya ni maji machafu yanayodaiwa kutiririka kutoka hospitali ya mkoa wa Shinyanga ambayo hupita kwenye mtaro nyuma ya shule ya Sekondari Buluba.Maji hayo machafu yamekuwa yakitiririka kwa zaidi ya miezi mitatu sasa ambapo wakazi wa maeneo yanakopita maji hayo wamedai kukerwa na harufu mbaya ya maji hayo huku wengine wakihofia kuripuka kwa magonjwa
Huu ni mfereji ama mtaro unaipitisha maji hayo yanayodaiwa kutoka hospitali ya mkoa wa Shinyanga na maji hayo huishia kwenye mto unaopita karibu na Shule ya sekondari Buluba ya mjini Shinyanga
Hapa ni kwenye daraja la barabara ya Magadula mjini Shinyanga ambapo kuna daraja ambalo chini yake ndiyo unapita mto ambao umekuwa suluhisho la maji machafu yanayodaiwa kutoka hospitali ya mkoa wa Shinyanga na kutishia maisha ya wapita njia na wakazi wa eneo hilo
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin