PICHA-HIKI NDICHO KAMERA ZETU ZIMEKINASA LEO MJINI SHINYANGA,JIONEE HAPA UJIFUNZE KITU
Friday, April 25, 2014
Katika pitapita zake mjini Shinyanga kamera za Malunde1 blog zimebahatika kunasa tangazo hili la mganga wa jadi(asili) namba zake tumezifuta ili kuepuka kumtangazia biashara.Tangazo hili ni miongoni mwa matangazo ya waganga wa jadi yaliyotapakaa katika maeneo mbalimbali ya manispaa ya Shinyanga yanayowekwa kwenye nguzo za umeme. Je yanalipiwa na wahusika kwa mamlaka zinazohusika?,lakini pili kinachotangazwa kiko sawa? lakini pia je ni kweli kinachotangazwa kinawezekana katika jamii mfano hilo neno "Kuongeza akili Darasani?" au ni kuendelea kupigia debe suala la imani za kishirikina katika jamii bila kujijua? Endelea kutafakari......
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin