TRAFIKI AGONGWA GARI HUKO MOROGORO,YADAIWA NI KAWAIDA YAKE KUGONGWA

Askari wa  kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Morogoro Analijulina Bw Crispan 'Mandela' amegongwa na gari eneo la Mtawala Barabara inayotoka Msavumu  kuingia katikatika ya Mji wa Morogoro.
 
Hii ni Mara ya Pili kwa Askari Huyo Kugongwa na Gari Mkoani Hapa akiwa kazini.
Tukio hilo lilitokea jana wakati Askari Huyo alipokuwa Eneo la Kituo cha kushusha Abiria Kwenye Shule ya Msingi Ya Mtawala Mkoani hapa
Kwa sasa Afande huyo imelazwa wodi namba moja hospital ya Rufaa ya mkoa wa Morogoro.
Na Jafe Jackson

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post