![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj8Wn02NHfYnZIvGY4rQqMT5uQxmt_7JSV1NUtGnRl4HQUmxE2Pr1TAOcjrJWUVKohTxeaXnEQSUoU-kRZjR7mqP_W2N5BTeb5qXgB1OHQOoy6hqJvKRUNKPYeVP8WskmSvOCWBY5p7c-k/s640/unnamed+%2826%29.jpg)
Aziza Mohamed(55)akiwa na mjukuu wake katika choo ambacho hivi sasa wamekigeuza kuwa makazi baada ya mvua iliyoambatana na upepo mkali kuezua nyumba yake wilayani Hai.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj6MnnmSe2G1QJuCTmABcGA2-giBHjemMKvnux4VqAFu8Z2Wutu8-bV4zAR9_RYrVWg8Gnq3_mt3aiyBu1uVsEW_O2LZKRlPKjPkSALYecuU8VgIgpo_Fp7pFUykiXHA1ySzRQEIEEVXHU/s640/unnamed+%2827%29.jpg)
Aziza Mohamed(55)akiwa na mjukuu wake katika choo ambacho hivi sasa wamekigeuza kuwa makazi baada ya mvua iliyoambatana na upepo mkali kuezua nyumba yake wilayani Hai.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiJp3vykm1DloAbJ9_idK8J_NEh5HMX9dMVNSE1lcJYt6R5oM3w2sJE_lpklH_5jreDzOzwoH8sasydQUYU78qoRI7SkFIr5pu6zv_TbC2tp1yYv0ksdIOTesdWoNF0yPov8_6_oq27Zh8/s640/unnamed+%2829%29.jpg)
Nyumba ambayo familia ya Aziza Maohamed ilikuwa ikiishi awali kabla ya kuezuliwa na upepo mkali ulioambatana na mvua katika kitongoji cha Kijweni kijiji cha Mijongweni kata ya Machame/Weruweru -Picha kwa hisani ya Tanzanianews.com