MGOMO WA DALA DALA JIJINI MWANZA WALETA KIZAA ZAA ,TAZAMA HAPA JINSI WANANCHI WALIVYOSAFIRI KUELEKEA MAENEO YA KAZI HII LEO
Monday, February 17, 2014
Madereva wa daladala jijini Mwanza leo wameamua kugoma kutoa huduma hiyo muhimu kwa jamii wakiishinikiza serikali kupandisha nauli na kupunguza faini pindi wanapokamatwa na askari wa usalama barabarani....
Baada ya mgomo huo kuanza, abiria walimua kutumia Malori, baiskeli, Toyo Kilimo na pikipiki kama njia mbadala ya kusafiria.
PICHA ZOTE KWA HISANI YA GSENGO BLOG
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin