HAWA NDIYO WAANDISHI WATATU WALIOJERUHIWA KWA KUSHAMBULIWA NA WAASI WA ADF

 
  Waandishi wa habari watatu, wamejeruhiwa vibaya kwa kupigwa risasi huko  Beni Kivu kaskazini baada ya kushambuliwa na waasi wa ADF katika mbuga ya wanyapori ya Virunga.
  Waandishi wa habari hao ni pamoja na Hangi wa redio muungano Oicha , SUBIRI PATIENT wa redio semuliki Beni NA KENEDY wa  redio OICHA.
  Mmoja kati yao hali yake ni mbaya, na wawili wanaendelea vyema. 
  Mungu waponye.
                         MUNGU IBARIKI TAALUMA YA HABARI.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post