Breaking News!!! DENTI AJICHOMA KISU BAADA YA MATOKEO KUONESHA AMEFELI KWA KUPATA ZIRO


Kijana ambae jina lake halija famika mpaka sasa,anayeishi Mwananyamala Dar es salaam ambaye anasemekana kuwa ni mwanafunzi aliyemaliza kidato cha nne mwaka jana yaani 2013 amekutwa amejichoma kisu shingoni.
 Kufuatia tukio hilo mwanafunzi iyo amekimbizwa hospitali.
 Chanzo cha tukio hilo kinasemekana kuwa ni matokeo yake ya kidato cha nne yaliyotangazwa jijini Dar es salaam,ambapo inasemekana matokeo yake hayakuwa mazuri maana amefeli kwa kupata ziro...
Credit-Bongoclantz

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post