TAZAMA JINSI UJENZI WA VYOO KATIKA SHULE YA MSINGI BUGOYI B ILIYOKO MJINI SHINYANGA UNAVYOENDELEA ILI KUWANUSURU WANAFUNZI WASITUMBUKIE KATIKA VYOO VILIVYOCHAKAA NA KUWA NA NYUFA ZA HATARI





Muonekano wa choo kinachotumiwa na wanafunzi na walimu wa shule ya msingi Bugoyi B iliyopo mjini Shinyanga

Muonekano wa ndani wa choo hicho

Hiki ndiyo choo kinachojengwa kwa ajili ya wanafunzi wa shule ya Msingi Bugoyi B iliyoko mjini Shinyanga ambapo pamoja na changamoto ya choo wanafunzi bado wanakaa chini kutokana na uhaba wa madawati

Ujenzi wa vyoo unaendelea kama unavyoona


Ujenzi unaendelea


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post