TAZAMA HALI YA MAZINGIRA KATIKA BAADHI YA MAENEO YA MJI WA GEITA
Sunday, January 12, 2014
Ni katika pitapita zake mwandishi wa malunde1.blogspot.com mkoani Geita Valence Robert kamera zake zikamnasa kijana aliyejulikana kwa jina la Samson Makungu akiwa anachimba mtaro hapo juzi katika halmashauri ya mji wa Geita huku akiwa hajavaa kitu chochote kwa ajili ya afya yake
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin