Ajali Tena!! WATU 13 WAPOTEZA MAISHA SINGIDA BAADA YA NOAH WALIYOKUWA WANASAFIRIA KUGONGANA NA LORI
Monday, January 20, 2014
Watu 13 wamefariki dunia na wengine 3 wamejeruhiwa baada ya gari aina ya Noah waliyokuwa wanasafiria kutoka Itigi kwenda Singida kugongana uso kwa uso na lori eneo la Isuna. Watu hao walikuwa wakisafiri kutoka Itigi kwenda Singida mjini
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin