Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

SIMBA SC YACHEZEA KICHAPO DHIDI YA STADE MALIEN

 

Timu ya Simba imepoteza mchezo wa pili Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Stade Malien ya nchini Mali baada ya kuruhusu mabao 2-1.

Katika mchezo huo wa kundi D uliopigwa katika dimba la 26 Mars, mabao ya Stade Malien yamefungwa na Nkeng 16’ na Simpara 23’ huku bao pekee la Simba likifungwa na Neo Maema 53’.*


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com