Timu ya Simba imepoteza mchezo wa pili Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Stade Malien ya nchini Mali baada ya kuruhusu mabao 2-1.
Katika mchezo huo wa kundi D uliopigwa katika dimba la 26 Mars, mabao ya Stade Malien yamefungwa na Nkeng 16’ na Simpara 23’ huku bao pekee la Simba likifungwa na Neo Maema 53’.*
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin