AJIUA KWENYE CHUMBA ALICHOANDIKA UKUTANI ...."KIFO CHANGU MUULIZENI MAMA YANGU"


Mkazi wa Pasua Matindigani, Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, Godson Mbwambo (30) amefariki dunia kwa kujinyonga huku akiacha ujumbe unaodaiwa aliuandika ukutani kabla ya kuchukua uamuzi huo akieleza sababu za kifo chake aulizwe mama yake.

Mwenyekiti wa Mtaa wa Matindigani, Amosi Chibago amesema kijana huyo kajinyonga baada ya kujifungia katika chumba ambacho ukutani paliandikwa, “kifo changu muulizeni mama yangu."

ENDELEA KUSOMA HABARI HII <<HAPA>>

Chanzo - Mwananchi

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments