CHOZI LILITOKA NILIPOMSHIKA MTOTO WANGU KWA MARA YA KWANZA!

Hakuna furaha anayokuwa nayo mwanamke kama kuitwa Mama, daima siwezi kuisahau siku ambayo nilimshika kwa mikono yangu mtoto wangu wa kwanza kwa mara ya kwanza.

Chozi la furaha lilinitoka bila mwenyewe kujua, nilijikuta nalia tu kwa furaha niliyokuwa nayo, moyo wangu ulihemewa kwa furaha ambayo ni vigumu kuelezeka na kueleweka.

Nasema hivyo kwa sababu kuu mbili; kwanza kujifungua salama mtoto wangu wa kwanza akiwa na afya tele, pili ni kwamba niliangaika sana kutafuta mtoto hadi ukafikia wakati wa kuanza kukataa.

Jina langu kwa sasa naitwa Mama Joyce, ni mkazi wa Mombasa nchini Kenya, katika ndoa yangu nilikaa miaka zaidi ya mwili bila kujaliwa mtoto ingawa nilikuwa na kiu sana kumzalia mume wangu.

Mume wangu alikuwa ananipa moyo na kunishauri niwe na subra kwani kila jambo lina wakati wake, nilimkubalia ila moyoni nafsi yangu ilikuwa haijatulia kabisa. Kiu yangu ni kujaliwa mtoto tu.

Wakati mmoja nikiwa nasoma gazeti fulani, niliweza kuona tangazo la AfricanDoctors kuwa wanatoa tiba kwa wanawake wanaosumbuka kupata mtoto, nilishawishika kuwasiliana nao licha ya kuwa tayari nilikuwa nimeshazunguka kwa wataalamu wengi.

Baada ya kuongea nao waliniambia dawa zao zimewasaidia wanawake wengi kupata watoto, hivyo nisiwe na wasiwasi hata kidogo, basi walinitumia dawa zao na kunipati maelezo jinsi ambavyo naweza kuzitumia na kupata matokeo yaliyokusudiwa.

Nashukuru dawa zili ziliweza kunisaidia na sasa naitwa Mama Joyce na Joyce mwenyewe tayari ana mtoto wake, watoto wangu ndio furaha ya maisha yangu, kwa hakika kila siku siwezi kuacha kuwakumbuka AfricanDoctors kwa msaada walionifanyia.

Wasiliana na AfricanDoctors kwa namba +254719153099.

Mwisho.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments