ASAKWA NA POLISI BAADA YA KUKATA CHUCHU NA NYETI ZA MPENZI WAKE


Mwanamke aliyekatwa na mpenzi wake

***
Jeshi la Polisi mkoa wa Mwanza linamsaka mwanaume ajulikanaye kwa jina moja la Masudi kwa tuhuma za kumkata chuchu na sehemu zake za siri na kitu chenye ncha kali mpenzi wake ambaye jina lake limehifadhiwa.


Akizungumza hii leo Oktoba 11, 2022, Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Mwanza Ramadhan Ng'anzi, amesema tukio hilo limetokea wilayani Magu katika msitu wa Sayaka ambapo mwanaume huyo anadaiwa kumchukua mpenzi wake huyo na kutekeleza unyama huo kisha kukimbia kusikojulikana.

Chanzo - EATV

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments