MAMA AJIUA KWA MADAI YA KUZIDIWA NA MADENI YA VIKOBA

Mkazi wa Kihesa Kilolo mkoani Iringa, Enea Mkimbo (55) amefariki dunia baada ya kujinyonga kwa kutumia kitenge kwa madai ya kuzongwa na madeni ya Vikoba.

Inadaiwa Septemba 13, 2022 wanakikundi wenzake walienda nyumbani kwake kudai madeni na ilipofika jioni akamuaga mumewe, Edward Sanga kuwa anakwenda nyumbani kwa mama yake mzazi na badala yake aliingia jikoni na kujitundika kitanzini hadi kufa.

Via Mwananchi

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments