SERIKALI YAPUNGUZA TOZO ZA MIAMALA YA SIMU...VIWANGO VIPYA KUTANGAZWA KESHO
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba Wizara ya Fedha na Mipango kupitia kwa Waziri wake Dkt. Mwigulu Nchemba, imepung…
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba Wizara ya Fedha na Mipango kupitia kwa Waziri wake Dkt. Mwigulu Nchemba, imepung…
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko, akizungumza kwenye ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Daraja la Iwely…
Profesa Lughano Kusiluka Mwenyekiti Mpya Baraza la Veterinari Tanzania. Na Mwandishi Wetu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Mashi…
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Binilith Mahenge akizungumza wakati akifungua kikao kazi cha Wataalam wa afya wa Mkoa wa Singida k…
Shule ya sekondari Gamboshi iliyoko kijiji cha Gamboshi wilayani Bariadi mkoani Simiyu aliyoanzishwa mwaka 2019 kwa ajili ya kut…
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mh.Hemed Suleiman Abdulla, akisikiliza maelezo kuhusu dawa asili, kutoka kwa mdau wa tiba …
Mbunge wa Kawe Mhe. Josephat Gwajima Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamebariki maamuzi ya Kamati ya Haki, M…
Mbunge wa jimbo la Muheza Hamis Mwinjuma maarufu Mwana FA ***
Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania Prof. Elisante Ole Gabriel (kulia), akiwasili katika ofisi za Wizara ya Mifugo na Uvuvi …
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga limewataka wachimbaji wadogo wa madini wametakiwa kutu…
Na Dotto Kwilasa - Dodoma Jumla ya Wahandisi wataalamu 630, wanatarajia kula kiapo cha utii wa taaluma yao kitakachotumiwa na v…
Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu LHRC Anna Henga Na Magrethy Katengu - Dar es salaam Kituo cha Sheria na Haki …
Mei 3 kila mwaka jamii ya ulimwengu huadhimisha Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari tangu Umoja wa Mataifa ulipoidhinisha siku…
Na Amiri Kilagalila,Njombe Mahakama ya wilaya ya Njombe imemuhukumu kifungo cha maisha jela Steward Mkongwa (33) kwa kosa la …
Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Kahama mkoani Shinyanga, mwaka 2005 hadi 2015, James Daud Lembeli amechukua fomu ya kuomba …
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) ni chombo kilichoanzishwa kwa Sheria ya Bunge Sura ya 129, ili kusimamia na kurat…
Na Atley Kuni- KAHAMA Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI). Prof. Riziki Shemdoe amekem…
Serikali ya Burundi imeishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuipatia enao la hekta kumi kwa ajili ya kuje…
Mtambo wa kwanza wa kisasa wa kukausha nguzo katika nchi za Afrika Mashariki na Kati umezinduliwa na Waziri wa Nishati, Dkt. M…
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa jana Agosti 30, 2021 amefungua majengo ya Ofisi ya Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida na Ofisi …
Mbunge wa Muheza, Hamis Mwijuma maarufu kama Mwana FA amepata ajali katika eneo la Mkambarani mkoani Morogoro baada ya gari ali…
Jamaa aliyetambuliwa kwa jina Joshua Kalama kwa sasa anapigania maisha yake hospitalini baada ya walinzi wa klabu moja Kajiado n…
Rais mpya wa Zambia Hakainde Hichilema Jumapili ameteua wakuu wapya wa jeshi na kuwaondoa wakuu wote wa polisi huku akiahidi k…
Na Mwamvua Mwinyi,Rufiji Zaidi ya nyumba 19 zimeteketea kwa moto katika kitongoji cha Shaurimoyo kijiji cha Nyamwage Kata ya …
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Selemani jafo akikagua mfereji wa maji yaliyotibiwa kwenye kam…
Na Dotto Kwilasa - Dodoma JUMLA ya kiasi cha Sh.Bilion 1.3 zimetolewa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa ajili y…
Na Abel Paul Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha ACP Mary Kipesha amewaongoza Maofisa wakaguzi…
Aliyekuwa mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha mapinduzi (UVCCM) wilaya ya Kahama mkoa wa Shinyanga kwa mwaka 2017/19, S…
Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof.Joyce Ndalichako akifungua Mafunzo ya kuwajengea uelewa Maafisa Maendeleo ya Jamii Ng…