WATEJA WA NMB GEITA WAPANGISHWA FOLENI MASAA 18


Wateja wa Bank ya NMB iliyoko Wilayani Geita Mkoani Geita wakiwa wamepanga foleni zaidi ya masaa 18 kuchukua fedha kwenye ATM.


Inaelezwa kuwa mashine hizo ni mbovu jambo ambalo limekuwa ni kero kwa wateja hao  kwani wateja hao wanalazimika kufika katika mashine hizo kuanzia saa moja asubuhi hadi saa nne usiku bila kupata huduma na kulazimika kurudi tena kesho yake,kwani zimekuwa zikiharibika mara kwa mara- picha na Valence Robert Geita.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527