KIKAO CHA USHAURI WA MKOA (RCC) CHAFANYIKA KATIKA UKUMBI WA OFISI YA MKUU WA MKOA WA SHINYANGA
الخميس, أكتوبر 31, 2013
Awali mkuu wa mkoa Sinyanga Ally Nassoro Rufunga akifungua kikao hicho cha ushauri wa mkoa- RCC katika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa mjini Shinyanga ambapo pamoja na mambo mengine aliwakumbusha wakulima wa pamba kuwa kalenda ya kilimo inaanza Novemba mosi mwaka huu
Kushoto ni mkuu wa wilaya ya Kishapu Wilson Nkambaku akifuatilia hotuba ya ufunguzi wa kikao ya mkuu wa mkoa wa Shinyanga
Mmoja wa wajumbe wa kikao hicho akichangia kuhusu sekta ya elimu ambapo aliitaka serikali kuwachukulia sharia walimu wasio waaminifu wanaopewa pesa ili kuficha maovu ikiwemo wanafunzi kuolewa au kupewa mimba wangali wako shuleni
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin