Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

JAMBO YATOA SALAMU ZA HERI YA KRISMASI KWA WATEJA

 
Uongozi wa Kampuni ya Jambo umetumia msimu wa sikukuu za mwisho wa mwaka kutoa salamu za Heri ya Krismasi kwa wateja wake na Watanzania kwa ujumla, ukisisitiza dhamira ya kuendelea kuwapatia bidhaa bora na zenye viwango vya juu, sambamba na kushukuru kwa imani na ushirikiano waliouonesha kampuni hiyo katika kipindi chote cha mwaka.

Katika kuadhimisha msimu wa sikukuuJambo Group kupitia Jambo Drinking Water imekuletea PUNGUZO MAALUMU LA 20% kwa maji safi, salama na yenye viwango vya juu vya ubora.

Kama kampuni inayoongoza katika uzalishaji na usambazaji wa maji, chakula, vinywaji, mafuta, usafirishaji na media, Jambo Group imejijengea heshima na imani kwa jamii kupitia misingi ifuatayo:

💧 Ubora wa hali ya juu wa bidhaa
🤝 Uwazi, uaminifu na uwajibikaji
🚀 Ubunifu wa kisasa unaokidhi mahitaji ya soko
 🌍 Mchango endelevu katika ustawi wa jamii

Jambo Drinking Water

Afya, Usafi na Ubora — Kila Tone.

📞 Wasiliana nasi: 0622 666 692
📍 Ibadakuli, Mwanza Road, Shinyanga – Tanzania
🌐 www.jambogroup.co.tz



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com