Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

MWANAUME ASHINDWA KUTEMBEA BAADA YA KUMTEMBELEA MPANGO WA KANDO




Wakazi wa jiji la Mbeya walishtushwa na tukio lisilo la kawaida lililotokea, ambapo mwanaume mmoja anayejulikana kwa jina la Richard aliripotiwa kushindwa kutembea ghafla baada ya kutoka nyumbani kwa mwanamke anayedaiwa kuwa mpango wake wa kando. Tukio hilo liliwavutia watu wengi na kuzua mijadala mikali kuhusu uaminifu kwenye ndoa na nguvu za kiroho.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com