MKE WA PILI ALIJIFANYA MCHA MUNGU KUMRITHI MUME WANGU LAKINI MIMBA ZAKE ZOTE ZILITOKA
Wednesday, August 13, 2025
Nisingeamini kama mtu anaweza kuja kuvuruga ndoa ya miaka 12 kwa kuhubiri ‘Mungu ameniambia nitakuwa mke wako’. Lakini ndivyo ilivyotokea.
Mie ni mke wa ndoa ya kwanza, tulibarikiwa na watoto watatu, maisha yetu yalikuwa ya kawaida ila ya amani. Mume wangu alikuwa mcha Mungu, lakini alivyoanza kuhudhuria maombi kwenye kanisa jipya, alianza kubadilika taratibu.
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin