MSANII PROFESA JAY AIBUKIA NYUMBANI KWA RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE
السبت, سبتمبر 09, 2023
Leo Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ametembelewa na msanii mkongwe wa Bongo Fleva Joseph Haule maarufu kama Professor Jay nyumbani kwake Kawe jijini Dar es salaam.
"Ni furaha iliyoje kumuona afya yake imeimarika.Hakika Mungu ni mkubwa", amesema Dkt Kikwete wakati akiongea na msanii huyo aliyeugua kwa muda mrefu kabla ya kupata nafuu baadae.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin