TMDA YATOA ELIMU YA MATUMIZI SAHIHI YA DAWA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI KINONDONI


Baadhi ya picha kutoka Manispaa ya Kinondoni wakati Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) ikiwa kwenye utaratibu wake wa kutoa elimu kwa umma juu ya matumizi sahihi ya dawa na vifaa tiba, madhara yanayoweza kutokea na namna ya kutoa taarifa juu ya madhara hayo.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments