DKT. JINGU AHIMIZA UBUNIFU, UWAJIBIKAJI,UADILIFU KWA WATUMISHI WA TUME MAHALA PA KAZI



Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt John Antony Jingu akizungumza wakati wa ufunguzi wa Baraza la Wafanyakazi la Tume ya Taifa ya Uchaguzi lililokutana leo Februari 23,2023 jijini Dodoma. Dkt Jingu amehimiza ubunifu, Uadilifu, uwajibikaji miongoni mwa watumishi na ushiriki wa michezo kwa ajili ya kuwajengea afya watumishi mahala pa kazi.
Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt John Antony Jingu akizungumza wakati wa ufunguzi wa Baraza la Wafanyakazi la Tume ya Taifa ya Uchaguzi lililokutana leo Februari 23,2023 jijini Dodoma. Dkt Jingu amehimiza ubunifu, Uadilifu, uwajibikaji miongoni mwa watumishi na ushiriki wa michezo kwaajili ya kuwajengea afya watumishi mahala pa kazi.
Wajumbe wa baraza la Wafanyakazi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi wakimsikiliza Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt John Antony Jingu wakati akifungua baraza hilo.
Wajumbe wa baraza la Wafanyakazi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi wakimsikiliza Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt John Antony Jingu wakati akifungua baraza hilo.
Kaimu Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi, Nassoro Shemzigwa (kushoto) akiongoza baraza hilo. Kulia ni Katibu wa Baraza hilo, Livini Avith.
Wajumbe wa baraza la Wafanyakazi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi wakimsikiliza wakifuatilia.Menejimenti ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi wakiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt John Antony Jingu
Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wakiwa katika picha ya pamoja na Mgeni Rasmi, Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt John Antony Jingu.
Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi, Manejiment na Secretarieti wakiwa katika picha ya pamoja na Mgeni Rasmi, Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt John Antony Jingu.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments